Maafisa wa polisi wa Tanzania walimtesa Musa E., mwenye umri wa miaka 22 ambaye ni mtumiaji wa zamani wa heroini mjini Mbeya katika mwaka wa 2009. Pia walimnyanyasa mara nyingi Christian B., mwenye umri wa miaka 22 na anayefanya mapenzi na wanaume. Kwa sababu wanatengwa na jamii, walijitegemea kwa msaada.
©2013 Human Rights Watch