Wanachama wa mashirika kadhaa yanayohudumu katika eneo walizitembelea familia zinazoishi mtaani Mathare jijini Nairobi -Kenya. Familia hizo zimeathirika kwa kafyu msimu wa janga la Korona. Walizipa barakoa na chakula

Wanachama wa mashirika kadhaa yanayohudumu katika eneo wakitembelea familia katika makazi ya Mathare jijini Nairobi na kutoa msaada wa barakoa na chakula kwa watu walioathirika kiuchumi kufuatia katazo la kutoka nje kutokana na Covid-19.

© 2020 Billy Mutai / SOPA Images/Sipa via AP Images