![Kambi ya Nduta nchini Tanzania kwasasa inahifadhi wakimbizi na watafuta hifadhi wa Burundi wapatao 70,109. Takribani Warundi 154,000 wanaishi katika kambi tatu – Nduta, Nyarugusu na Mtendeli – kaskazini magharibi mwa Tanzania katika mkoa wa Kigoma, ambapo baadhi yao wamekumbwa na ukamataji holela, kupotezwa kwa nguvu, na kuteswa.](/sites/default/files/media_2020/11/202011africa_tanzania_ndutacamp.jpg)
Kambi ya Nduta nchini Tanzania kwasasa inahifadhi wakimbizi na watafuta hifadhi wa Burundi wapatao 70,109. Takribani Warundi 154,000 wanaishi katika kambi tatu – Nduta, Nyarugusu na Mtendeli – kaskazini magharibi mwa Tanzania katika mkoa wa Kigoma, ambapo baadhi yao wamekumbwa na ukamataji holela, kupotezwa kwa nguvu, na kuteswa.
© 2020 SOS Médias Burundi