Kambi ya Nduta nchini Tanzania kwasasa inahifadhi wakimbizi na watafuta hifadhi wa Burundi wapatao 70,109. Takribani Warundi 154,000 wanaishi katika kambi tatu – Nduta, Nyarugusu na Mtendeli – kaskazini magharibi mwa Tanzania katika mkoa wa Kigoma, ambapo baadhi yao wamekumbwa na ukamataji holela, kupotezwa kwa nguvu, na kuteswa.

Kambi ya Nduta nchini Tanzania kwasasa inahifadhi wakimbizi na watafuta hifadhi wa Burundi wapatao 70,109. Takribani Warundi 154,000 wanaishi katika kambi tatu – Nduta, Nyarugusu na Mtendeli – kaskazini magharibi mwa Tanzania katika mkoa wa Kigoma, ambapo baadhi yao wamekumbwa na ukamataji holela, kupotezwa kwa nguvu, na kuteswa.

© 2020 SOS Médias Burundi