A riot police officer fires tear gas at protesters during a mass rally called by the opposition leader Raila Odinga over the high cost of living, in Nairobi, Monday, March 27, 2023.

Afisa wa polisi wa kitengo cha kukabili ghasia afyatua kitoza machozi dhidi ya waandamanaji wakati wa mkutano uliotishwa na kiongozi wa upinzani Raila Odinga kupinga gharama ya juu ya maisha jijini Nairobi, Jumatatu, Machi 27, 2023.

© 2023 Picha za AP/ Patrick Ngugi